Swahili Service

KUGUZWA UPYA

MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 10:1-21   Leo tunajifunza jinsi ya kupokea uguzo mpya kutoka mbinguni. Hakuna chochote kimeandikwa kinyume juu ya maisha na huduma ya nabii mkuu Danieli na manabii wachache tu katika Biblia wasiokuwa na lawama. Danieli aliishi katika mazingira mabaya sana maisha yake yote. Maadui walikuwa wengi sana juu ya maisha …

Continue Reading