Swahili Service

TUMAINI HAI

MFULULIZO: 1 PETRO-YESU KRISTO, TUMAINI LETU. SOMO: 1 PETRO 1:1-12, WAEBRANIA 11:1 Yesu Kristo yu hai, basi uwe na hakika na furaha hata wakati wa shida na mateso. Furaha hata wakati wa shida na mateso. Mtume Petro aliandika kwa wakristo waliokuwa katika uamisho, wametapakaa kote katika Asia Minor (Asia Ndogo). Mahali sasa ni Uturuki kaskazini. …

Continue Reading