MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 PETRO 3:8-12, (10). Kila mtu anapenda kuishi maisha bora zaidi. Sijakutana na mtu yeyote asiyependa kuishi vyema na bora. Kila mtu anapenda kuwa na furaha, amani, baraka na ufanisi-maisha mema. Lakini shida ni watu katika dunia hii hawajui maisha mazuri na bora na maisha ya namna gani. Wengine maisha …
Month: June 2025
PAUL’S PASTORAL CONCERNS FOR THE GALATIANS.
SERIES: GALATIANS-BE FREE. TEXT: GALATIANS 4:8-20. In these thirteen verses Paul expresses his pastoral concerns for the Galatians. These pastoral concerns can be expressed in three “R” s, REGRESSION, RELATIONSHIP and REASONS. Paul was concerned about the Galatians regression back to the slavery of legalism. Paul was concerned about his relationship with the Galatian …
WHEN THE PILGRIM STUMBLES AND FALLS DOWN.
SERIES: THE PILGRIM’S PROGRESS. TEXT: GALATIANS 6:1-2. On reaching the cross, one’s sins are entirely forgiven and the believer is empowered by the blood of the Lord to be able to overcome sin thereafter in the pilgrim’s journey. However, the burden of sin still bothers a believer throughout the pilgrim’s journey until death or …
TUMAINI KWA JAMII.
MFULULIZO: TUMAINI HAI . SOMO: 1 PETRO 3:1-7. Ni jambo la kushangaza kwamba ndoa za Wakristo zinaendelea kuvunjika kama vile ndoa za wapagani. Je, kuna tofauti dhidi ya ndoa za Wakristo na ndoa za dini zingine? Sisi kama Wakristo tunahitaji kuwa tofauti, lakini ni huzuni ndoa zetu kama Wakristo ziharibike sawa kama tunaposhuhudia leo. …
IN THE FULLNESS OF TIME.
SERIES: GALATIANS: BE FREE. TEXT: GALATIANS 4:1-7. The arrival of Jesus Christ on this earth was anticipated and prophesied about and so will His return be with anticipation. God is never early and He is never late. He is always right on time. It may not be “in our time” but it is always …
THROUGH THE VALLEY OF THE SHADOW OF DEATH.
SERIES: THE PILGRIM’S PROGRESS TEXT: PSALMS 23:4 King David is a great man, in the Bible. In Psalms 23 he spoke about walking through the valley of the shadow of death. It may occur in a pilgrim’s journey to pass through a dark time of passing through this valley. Valley come in all shapes …
MAMLAKA KI-BIBLIA
MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 Petro 2:11-25. Kunyenyekea ndilo neno linalochukiwa sana duniani. Wengi wetu tunafanya kama jinsi kijana mmoja alivyolazimishwa na mama yake kuketi chini. “Johnny tafadhali keti chini.” Johnny alipokataa kuketi chini, mamake alitumia nguvu kumketisha chini. Ndiposa alipoketi alimwambia mamake, “Mama hata ingawa nimeketi kimwili, lakini katika roho yangu ningali nimesimama.” …
THE GROUND IS LEVEL AT THE FOOT OF THE CROSS
SERIES: GALATIANS: BE FREE. TEXT: GALATIANS 3:26-29. The Old Testament gave favored status to the Jews and considered Gentiles unclean and inferior. But the New Testament teaches that the ground is level at the foot of the cross. The letter to the Galatians was written to a group of Christians who were straying from …
THE PILGRIMS MEETS SATAN
SERIES: THE PILGRIMS PROGRESS. TEXT: 1st PETER 5:8 Salvation is precious. Anything that is costly, precious needs to be guarded lest a thief snatches it away-Rev. 3:11. Destiny can be stolen just as money and wealth are stolen. Satan is the real enemy of the pilgrim believer. He derailed Adam and Eve and succeeded …
LIVING GOD’S PURPOSES
SERIES: PRACTICAL FAITH TEXT: JOSHUA 23:14; 1:1-18. Living God’s purposes is to understand that God put us on this earth for a reason. God has a plan and a purpose for our lives. God wants to use us for a great purpose beyond what all of us could possibly imagine. We have a problem …
