MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 Petro 2:9-12. Mtume Petro anawaeleza waumini kwamba sisi NI WASAFIRI NA WAGENI duniani. Mgeni maana ni mtu anayeishi kwa muda katika nchi isiyo yake. Huyu mgeni ameishi katika nchi ya kigeni kwa muda kiasi amehitaji kuwa na nyumba ya kuishi na kufanya kazi lakini katika nchi ya ugeni. Lakini …
Month: June 2025
WHO HAS BEWITCHED YOU?
SERIES: GALATIANS: BE FREE. TEXT: GALATIANS 3:1-5. When Paul wrote to the churches in Galatia about his concerns he described the people as being “foolish.” He also questioned whether they had been bewitched. It is not far-fetched to sometimes describe a person’s action or decision as being foolish. It is a fact of life …
STARTING WITH GRACE AND ENDING WITH THE LAW
SERIES: THE PILGRIMS PROGRESS. TEXT: GALATIANS 3:1-3. As a Christian pilgrim goes on the pilgrimage journey, he/she later meets on Mr. Morality who demeans and disregards the cross and advises the believer that it is not necessary to obtain Salvation by the grace that comes through the cross. He deceives the believer that salvation …
WOKOVU WETU MKUU
MFULULIZO: TUMAINI HAI. SOMO: 1 PETRO 1:10-12. Mtume Petro amekubali kwamba wakristo wa kwanza wametawanyika pote wakihofia maisha yao. Hawa Wakristo amewahimiza kwamba wakafurahi sana hata katika mateso. Amewaeleza kwamba wamepata urithi mkuu katika Kristo. Mateso ni kwa muda mfupi tu, tukilinganisha na urithi tuliopata katika Yesu Kristo. Petro amewapongeza sana kwamba hata ingawa …
I AM CRUCIFIED WITH CHRIST
SERIES: GALATIANS: BE FREE. TEXT: GALATIANS 2:20. We must realize that Calvary is not merely about how Jesus Christ died, but also how we should live. The early church realized this fact. Modern day Christianity has often limited the cross of Christ to doctrinal boundaries of salvation. But it is clear from the epistles …
TIMES OF DESPONDENCY
SERIES: THE PILGRIMS PROGRESS TEXT: HEBREWS 12:3 Despondency is feeling or showing profound hopelessness, dejection, discouragement or gloom. God has put a race in front of everyone of us. The terrain of the journey is not the same, there are times when it is raining, there are times of sunshine too. The writer of …
