Swahili Service

FURAHA YA WENYEJI WA UFALME WA MUNGU.

MFULULIZO: JINSI YA KUISHI MAISHA YA UFALME WA MUNGU. SOMO: WAFILIPI 3:20-21.   Zaidi tunapofahamu utambulisho wetu kama wenyeji wa ufalme wa Mungu, ndiposa tutakapopata ujuzi kamili wa furaha inayoletwa na ufalme wa Mungu. “Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni, kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo-Wafilipi 3:20. Wenyeji unakuja pamoja na haki …

Continue Reading