I WAFALME 2:28-34 UTANGULIZI Kuna toba inayochelewa. Mtu huyu alikuja kwa madhabahu ya Bwana lakini alikuwa amechelewa hivyo akafa. Hili ni jambo la huzuni nyingi sana, Yohabu alilala hapo madhabauni mfu. Damu yake ililowa madhabahu lakini alikuja amechelewa. Kushika pembe za hekalu haitoshi kwa kuokoka. Yoabu hakuwa mtu wa ibada na kanisa, alikuwa mtu wa …
Category: Kings Of Judah
NGUZO NNE ZA MOYO WA MWANAUME
I WAFALME 2:1-4 UTANGULIZI Katika mwaka 1555, Hugh Latimer na Nicholas Ridley walitoka gerezani kwa mara ya mwisho. Walihukumiwa mauti kwa kuchomwa moto kwa sababu walikataa kumkana Yesu Kristo na kukataa Imani yao katika Kristo. Walipokaribia motoni, Latimer alimwambia Ridley “Furahini, Ridley simama kiume. Leo tutahakisha taa hakuna mtu atakaye zima, kwa neema ya Mungu”. …
YA KALE YAMEPITA HUSIYAPE WAKATI UJAO
SOMO: I WAFALME 1:1-53 UTANGULIZI Je, wewe ni mtumwa wa yaliyopita? Ujumbe wetu leo ni kisa jinsi ya kuinuka juu ya yaliyopita pamoja na maovu uliyotendewa na watu. Mfalme Daudi alipokuwa mzee na mkongwe, Sulemani kitinda mimba wake aliingia mahali pake. Ndugu yake Adonia alikuwa amejipandisha kuwa mfalme akawaalika wote kwa karamu ya kujiapisha lakini …
WISE MEN STILL SEEK HIM.
PREACHER: DR: WILLY MUTISO TEXT: 1 KINGS 3 : 3 – 28. INTRODUCTION: First look at the following sayings of the wise: Philosopher Cicero: “The function of wisdom is to discriminate between good and evil.” Elbert Hubbad: “Wisdom is ‘to know when to be generous and when firm.’” Immanuel Kant: “Science is organized knowledge, …
SIN IS A HARD HABIT.
PREACHER: REV. DR. WILLY MUTISO. TEXT: 2 CHRON. 14 : 4 – 13; 16 : 1 – 13. 1 KINGS 15 : 1 – 15. INTRODUCTION: A man came for confession and said, “Forgive me, father, for I have sinned. I stole this chicken to feed my family. Would you take it and settle my …
“ONCE BITTEN, TWICE SHY” – KING JEHOSHAPHAT.
PREACHER: REV. DR. WILLY MUTISO. TEXT: 2 CHRONICLES 17 : 1 – 19 : 11 INTRODUCTION: “Compromise is the art of dividing ugali in such a way that everyone believes he has the biggest piece.” Life has many compromises, but make sure you know what areas you can give in, who you can give in …