Swahili Service

JE, WEWE HUKUJUA? HUKUSIKIA?

SOMO: ISAYA 40:28-31.   Nguvu za mwanadamu haziwezi kutosha tunapo pitia katika changamoto na magumu ya maisha. Haijalishi wewe ni nani na nguvu zako. Kila mmoja wetu atakutana na changamoto zinazotisha maisha yetu. Hatuwezi kwa nguvu zetu kushinda. Tunahitaji Mungu kila saa-Isaya 40:28-31. Mungu alimuuliza Isaya nabii, “Je, wewe hukujua? Hukusikia? Mungu wa milele Bwana, …

Continue Reading
Swahili Service

NAWE UTALITAJA NENO, NALO LITATHIBITIKA KWAKO

SOMO: AYUBU 22:27-29   Watoto wa Mungu wamepewa uwezo wa kulitaja na kukusudia neno, kuambatana na neno la Mungu na Mungu anadhibitisha lile neno. “Nawe utakusudia neno, nalo litadhibitika kwako”-Ayubu 22:28. Kutaja au kukusudia neno Maanake ni kutumia uwezo na nguvu za Mungu kuamrisha neno kulingana na sheria za Mungu. Mungu ametufanya kuwa wafalme na …

Continue Reading