Swahili Service

YEZEBELI NA WATOWASHI

MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA SOMO: 2 WAFALME 9:1-37; UFUNUO 2:18-29.   Nabii Elisha sasa alikuwa mzee sana. Yehu alipoitaji kupakwa mafuta kuwa mfalme, Elisha alimtumia nabii mwanafunzi kumtawaza Yehu.  Leo tunaangazia mwanamke mwenye uovu mwingi sana Yezebeli. Yezebeli alikuwa mwanamke mwenye ushawishi mkuu katika Israeli yote. Mume wake Yezebeli alikuwa Ahabu, mfalme wa …

Continue Reading
Swahili Service

FAHAMU NAFSI YAKO

MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA SOMO: 2 WAFALME 8:7-15.   Mwana philosophia mmoja kwa jina Socrates hapo zamani alisema “jifahamu mwenyewe” na “maisha isiyojulikana aina maana kuishi” “The unknown life is not worthy living.” Kila mtu anaye mbwa ndani yake. Miti mikubwa inaanguka kwa upepo na dhoruba. Saa nyingine mtu anafanya jambo linalo washangaza …

Continue Reading
Swahili Service

BARAKA KUPITIA WASAIDIZI HATIMA

MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA SOMO: 2 WAFALME 5:1-8   Mungu amepanga kila mmoja kupata baraka kupitia kwa wasaidizi wa hatima. Naamani alisaidiwa na kijana mwanamke asiyetoka nchi ya Israeli. Huyu kijana mwanamke alikuwa mtumwa. Mungu pekee anawainua watu kupitia watu wengine. Mungu anawabariki watu kupitia watu. Usaidizi wa Mungu unapitia watu wanaoinuliwa na …

Continue Reading
Swahili Service

MAKOSA KATIKA HATIMA

MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA SOMO: MHUBIRI 10:5-7; 2 WAFALME 4:1-7   Makosa ya hatima yanaonekana kila mahali leo. Unapotazama maisha yako na kuona kwamba mahali na hali yako sio mahali ungalikuwa, basi makosa yaliingia katika maisha yako. Unapoona mpaka sasa ungali unanyenyekea shetani na umeokoka-makosa. Ikiwa mpaka leo unakopa fedha, chakula, badala yako …

Continue Reading