MFULULIZO: RUTHU SOMO: RUTHU 2:2-19. Kabla Ruthu kupata kupenya kwa Boazi, Ruthu aliomba kibali na neema. Hatima yako inahitaji sana kibali na neema. Ruthu 2:2, “Naye Ruthu Mmoabi akamwambia Naomi, sasa niende kondeni niokote masaza ya masuke nyuma yake, yule ambaye nitaona kibali machoni pake, akamwambia, haya mwanangu nenda.” Ruthu 2:10, “Ndipo aliposujudia, akainama …
Tag: #baraka
MTU WA MUNGU LAZIMA KUPIGA VITA
MFULULIZO: NIFANYE NIWE BARAKA SOMO: 1 TIMOTHEO 6:11-16 Tumeona katika mfululiza huu wa “nifanye kuwa baraka” kwamba cheo cha juu zaidi na heshima ya juu zaidi katika ufalme wa Mungu juu ya mtu katika maisha haya ni kuitwa “mtu wa Mungu” au “mwanamke wa Mungu.” Lakini si kila mtu anao mawazo hayo. Kuna watu …